NASHUKURU..B.O.B

ZAO LA KATA""" KILIMANJARO
WASANII WANAOKUJA JUU KATIKA STYLE MBALI MBALI..BONGO FLAVER

Mohamedi (mello)
Swalehe (swazi)
Wanandugu wawili wanaokuja juu baada ya kutoa ngoma kali kali

Wanaopatikana katika nyanda ya KASKAZINI mwa Tanzania..KILIMANJARO

Wamekua gumzo kila kona kwa kazi nzuri wanazofanya...

Tembelea  katika mitandao.. andika B.O.B The dreamers

Moja ya azi zao ni kama...

Nashukuru

Mama Africa

Suit & tie n.k

Kama unahitaji... kazi zao na
Kama unawahitaji katika show...
Search bloger contacts


www.mkito.com/bobthedreamers

Comments

Popular posts from this blog

MAHABA ZONE

ORODHA YA WANAUME WA WEMA YAFUNIKA KIMATAIFA

JIKE DUME HILI HAPA