YA FAHAMU MADHARA YA UVUTAJI SIGARA

Dunia inakilio cha kupoteza binadamu wengi kwaajili ya uvutaji Sigara(tumbaku)
Imetathiminiwa na wizara mbali mbali za afya Duniani kua Kila sekunde nane, mtu mmoja hufariki kutokana na utumizi wa tumbako. Imebainika kuwa watu saba kati ya wavutaji sigara kumi, huanza uraibu huu wakiwa wangali watoto. Wanaoendelea kuvuta sigara kwa muda mrefu hufupisha maisha yao kwa miaka 20 hadi 25. Sababu ni kuwa sigara ina kemikali zaidi ya 4,000 ambazo zina uwezo wa kudhhuru afya ya binadamu. Madhara yanayosababishwa na uvutaji sigara ni  mengi na yamesambaa mwilini kote. Nchi nyingi zenye hali ya hewa ya baridi imebebelea idadi kubwa ya wavutaji sigara kuliko nchi nyingi za hali joto.. Yafuatayo ni baadhi tu ya maradhi yatokanayo na utumiaji wa tumbaku

Kung’oka kwa nywele

Magonjwa ya macho

Kukunjana kwa ngozi

Magonjwa ya masikio

Saratani ya ngozi

Magonjwa ya meno

Magonjwa ya mapafu

Mifupa

Ugonjwa wa moyo

Vidonda vya tumboni

Magonjwa ya ngozi

Ugonjwa wa ‘Buerger’

Saratani

Comments

Popular posts from this blog

MAHABA ZONE

ORODHA YA WANAUME WA WEMA YAFUNIKA KIMATAIFA

JIKE DUME HILI HAPA