Posts

Showing posts from March, 2015

(From INSTAGRAM) BONAS PART 182 ZAWADI KWA NISHA

                       Bonas  PART 182 Aliniambia. kua hatokaa asahau hasa anapo sikia  jina La ZULEA likitajwa Alimfanya kama mdogo wake hasa kutokana na hali aliokua nayo ya ulemavu hakua na mtu wa kumsaidia kwa wakati ule.... japo alinidharau kipindi yupo mzima ila sikulipiza mabaya... nilikua naishi nae hapa nyumbani. japo sikua na mume wa kumtegemea ila nili mlisha na kumuhudumia... siku moja nilikua nimekwenda sokoni nilipata simu ya dharura ikanipasa nirudi nyumbani haraka sana.. nilitafuta usafiri nikarudi hapa nyumbani nilikuta watu wengi sana.. nikapenya hadi ndani .. nilichokiona nilizimia nikazinduka alijichoma kisu cha tumbo damu na utumbo vilitapakaa hadi niliogopa sikujua kwanini ZULEA Aliamua kujifanyia hivyo hata hivyo aliacha ujumbe ambao sikubahatika kuusoma askari walikua tayari wamefika na kuuchukua  na kuondoka na maiti.. siku ya pili nilipewa maiti niizike.na ukawa mwisho wa ZULEA ni mwezi sasa

FID Q NDANI YA EASTER FULLMOON PARTY KENDWA ROCK ZANZIBAR

Image
Ile party ya kijanja..inaowajumuisha..Watalii na Watu wakijanja zaidi... inayojumuisha party zote za kijanja.. katika visiwa vya Zanzibar....  inataraji kuachia bonge la Party siku... j mosi.... on wards Party hiyo itakua ya aina yake....Atakuepo mkali wa hip hop Bongo (NGOSHA) FID Q.... na wasanii wengine kibao..... .wakidondosha usiku wa hip hop.. huku Tukiipokea pasaka vyema kabisa... Ma dj mashuhuri  ... ZANZIBAR DJ SIDE... DJ ALLI watagusa moto kwa ncha za vidole vyao kama kawida yao.... Nauli mlangoni ni zaidi ya buuuuure....15000 za kitenzeniaaa WOTE MNAKARIBISHWA......

JINI TUNU seson 3

Image
Nilichomoka pale alipo Tunu na sikuangalia nyuma tena kwani nilihofia huenda akawa ananikimbiza... moyo ulinirukaruka nisijue cha kufanya huku nikimuwaza SUDI kule alipo kipi kimemtokea ikiwa mimi niliokua nje ndio yamenikuta haya .. kusema ukweli nilikimbia mbali sana kiasi kwamnb hata ile nyumba sikuiona..tena Jua lilikua kali na sikuona.mtu Hata mmoja.. chaajabu njia tuliokuja nayo ilinipotea na kufanya nika ingia katika muelekeo mwingine kabisa niliona kila kitu ni kipya ..niliwaza mengi niliwaza nyumbani ..niliwaza kwa bibi.. nini hichi kimenitokea.. ?? majuto yalijenga ukuta katika nafsi yangu... SAM mimi nilijionea huruma kwa jinsi nilikua natoka jasho maana niliona ni kama nime lima heka kumi kwa siku moja bila kupimzika.. nitarudi vipi nyumbani..??  nitaelekea wapi kwa wakati ule ..hakika ulikia ni mtihani wa aina yake ... Sauti za ndege ziliniogopesha..niligeuka nyuma kila saa huku naitafuta hata alama ya vinjia vilivyotokelezea nipate kuvifuata... Kiu ilianza kunishi

KUTANA NA PHOTOGRAPHER MAHIRI

Image
Una sherehe? Unatukio?? Unahitaji kuonekana katika muonekano wa hali ya juu...Kupitia CAMERA?? ki DIGITAL zaidiiiiiiii MTAFUTE ATAKUTAFUTA MTAFUTE...... email --  idreamfoto@gmail.com Simu---   +255 712 611 511

JINI TUNU seson 2

Image
ile ndoto ilinifanaya niwaze sana juu ya safari ile.. mh kwanini niliota kama vile.. nilijiuliza maswali mengi huku nikihisi kuwa hakuna kitakachoeleweka mimi na yeye  katika maongezi ya SUDI.. nilitoka nje kwenda kumsikiliza... na aliniambia kuhusu safari kwani alikua tayari amekwisha jiandaa.. na safari.. niliona si vyema kuanza kumsimulia yale yaliotokea katika ndoto ila nilimuambia kwamba sijisikii poa katika safari ile..ningehitaji kupumzika ili kesho nirudi nyumbani kwa kujiandaa na chuo ..nilijaribu kumsihi kua tuahirishe  ila hakunielewa.. alinambia kua itakua si vizuri na tulibakiza siku kadhaa tu kurudi mjini.. Nilijifikiria sana ukizingatia SUDI alikua rafiki yangu tulio wasiliana katika muda wote tulipanga mengi sana mimi na yeye baada ya masomo yangu... ilibidi nikubali nikaingia ndani kujiandaa.... Tulikunywa chai aliotayatisha bibi ..nikamuaga bibi na tukaianza safari.. huku SUDI akiwa amening'iniza kamera yake.shingoni..kwa ajili ya kuchukua kumbukumbu za matuk

YA FAHAMU MADHARA YA UVUTAJI SIGARA

Image
Dunia inakilio cha kupoteza binadamu wengi kwaajili ya uvutaji Sigara(tumbaku) Imetathiminiwa na wizara mbali mbali za afya Duniani kua Kila sekunde nane, mtu mmoja hufariki kutokana na utumizi wa tumbako. Imebainika kuwa watu saba kati ya wavutaji sigara kumi, huanza uraibu huu wakiwa wangali watoto. Wanaoendelea kuvuta sigara kwa muda mrefu hufupisha maisha yao kwa miaka 20 hadi 25. Sababu ni kuwa sigara ina kemikali zaidi ya 4,000 ambazo zina uwezo wa kudhhuru afya ya binadamu. Madhara yanayosababishwa na uvutaji sigara ni  mengi na yamesambaa mwilini kote. Nchi nyingi zenye hali ya hewa ya baridi imebebelea idadi kubwa ya wavutaji sigara kuliko nchi nyingi za hali joto.. Yafuatayo ni baadhi tu ya maradhi yatokanayo na utumiaji wa tumbaku Kung’oka kwa nywele Magonjwa ya macho Kukunjana kwa ngozi Magonjwa ya masikio Saratani ya ngozi Magonjwa ya meno Magonjwa ya mapafu Mifupa Ugonjwa wa moyo Vidonda vya tumboni Magonjwa ya ngozi Ugonjwa wa ‘Buerger’ Saratani

JINI TUNU.. seson 1

Image
JINI TUNU seson 1 Mtunzi... mudi bellino Haikua mara yangu ya kwanza kwenda kwa bibi kijijini kusalimia hasa kipindi cha likizo... nilipenda sana maisha ya kijijini.... bibi aLinipenda sana alinitaka kila likizo nimtembeleee Mara hii nilikwenda nikiwa nimesha kua mkubwa ila sikupatamani tena kijijini kama zamani.. nilikaa hata wiki haikuweza kuisha... .. Na hii ilitokana na   elimu niliofikia..na nafasi yangu kua ndogo.. maana nilikua tayari nimefika Chuo..mwaka wa 3.. Nilikuja kumtembelea Bibi yangu kwa Muda wa siku 2 tu kabla sijarudi mjini..kwa baba na mama .. Mara nyingi nikikutana na SUDI yeye pia alikuja kumsalimia Shangazi yake  aliokua akiishi huku kijijini Alikua ni rafiki yangu sana ila yeye alikua anasomea ufundi magari.. na  urafiki wetu ulianzia kipindi nakuja katika likizo ndefu nilipokua elimu ya msingi ... .. ... .. Mara hii SUDI alinishawishi tukae japo siku nne maana alikua na mipango ya kutembelea.. katika nyumba za makumbusho...eneo lililokua karibu na bah

JE UNAMJUA MSANII WA BONGO FLEVA BINGWA WA KUHONGWA

Image
MSANII Raymond Aboubakary Jiliwa JINA LA KISANII...Jobfire Wa Melody KUTOKA Moshi Kilimanjaro Anaetamba na nyimbo ya ""NIHONGE"" inayoshika lavel za juu kabisa katika station mbali mbali BONGO na VISIWANI... msanii huyo wa kizazi kipya anaeonja aina mbali mbali za muziki huo.. amethibitisha utajiri wake huo wa sauti baada ya kuonyesha ujuzi katika nyimbo yake ya "TUMA"yenye asili ya Mdundiko.. aliomshirikisha HUMMER Q...ambao ulikonga Nyoyo za MASHABIKI Mbali na kutamba na nyimbo zake NYINGI alizoimba mwenyewe... Pia JOBFIRE alifanya nyimbo na NEY WA MITEGO inayoitwa(solemba) hakuishia hapo alishirikiana na AMINI.. SINGLE SALLY na wengine kibao... Pia ameweka nia yake hiyo... kuendeleza na kugeuza sura ya Mziki wa TANZANIA kua wa Kimataifa zaidi.. hasa vionjo vyake anavyovitia katika nyimbo zake.... ni zaidi ya sanaa ya kucheza na sauti.. bali ni kipaji alichokua nacho... ""Ameweka malengo ya kufanya kazi na.. VICTORIA KIMANI... ALLIKIBA n

ZANZIBAR UCHOCHORO KWA CD FEKI

Image
Huku mamlaka zinazosimamia sanaa ZANZIBAR.. imekua ikionyesha kupuuza kwa kazi za wasanii ..kuachwa zikauzwa kiholela.. ""Jopo la vijana wengi (machinga) ZANZIBAR limekua likitegemea ajira yao ya mikononi ya ya kuuza cd feki kwa bei rahisi kabisa.. ""Shirikisho la sanaa Tanzania na ZANZIBAR limejisahau kua ..hata Zanzibar.. kazi za sanaa za wasanii zinapendwa kwa asilimia kubwa ukitofautisha na Tanzania BARA... """ KUMEKUA na viwanda vidogovidogo vya kufyatulia kazi hizo na kusambaza kihokela...maeneo mbali mbali ya ZANZIBAR """Huku masikitiko Baraza la sanaa likiwa lina wafanyakazi wanaopokea mishahara bila kazi...... .. .. .. Maeneo mengi ya KISIWANI zanzibar kumekua na uuzaji holela wa cd feki.. na hii inatokana na bei ya chini wanayouzia..ukilinganisha na ile ya cd orijino ":Mamlaka sahihi zinazofuatilia kazi hizi mnaombwa kuangalia hili kwa jicho pevu.. .. ... .by sweetstoryz

NASHUKURU..B.O.B

Image
ZAO LA KATA""" KILIMANJARO WASANII WANAOKUJA JUU KATIKA STYLE MBALI MBALI..BONGO FLAVER Mohamedi (mello) Swalehe (swazi) Wanandugu wawili wanaokuja juu baada ya kutoa ngoma kali kali Wanaopatikana katika nyanda ya KASKAZINI mwa Tanzania..KILIMANJARO Wamekua gumzo kila kona kwa kazi nzuri wanazofanya... Tembelea  katika mitandao.. andika B.O.B The dreamers Moja ya azi zao ni kama... Nashukuru Mama Africa Suit & tie n.k Kama unahitaji... kazi zao na Kama unawahitaji katika show... Search bloger contacts www.mkito.com/bobthedreamers

(From instagram)BONAS PART ZAWDI KWA NISHA 155

                            PART 155 ""Nipo katika kizimba kwa mbali namuona DK SHIJA akisikiliza kwa umakini kwa jinsi ninavyosomewa kesi... Mara namuona wakili MERY .. Nilimkumbuka mara ya mwisho kumuona na alitajwa kua ndio mdhamini wangu mkuu wa kesi ile... akili ili nivuruga mara moja huku nikijiuliza huyu wakili katumwa na nani mbona alinisimamia kidete hivyo... na alikua akichambua mambo mengi yakinihusu mimi hasa ufanyaji wa kazi zangu kabla ya kukamatwa.alisema. ""mteja wangu alikua ni raia mwema asiweza kuhusishwa na maswala ya kigaidi aliorodheshewa hapa.hakua kayafanya...."" alikua akifanya kazi ya uhudumu katika mgahawa mmoja.. hapa mjini na siku ya tukio.. hakuhusika.. ila mmiliki wajengo nilioomba jalada lake la umiliki lifikishwe hapa mahakamani leo..mmiliki huyo ndio anajua kinaga ubaga juu ya ulipuaji. jengo.""alisema Wakili MERY..  aliomba jalada la HATI ya ghorofa lile liletwe... Hakukua na mtu aliofanya hivyo ..kesi ikaahiri

(From instagram)BONAS PART (ZAWADI KWA NISHA) 154

                     PART 154 ""Kila Dakika zilivyojongea BULLA alionyesha matumaini mazuri.. ya kuvuta kumbukukumbu.. alishaanza kuonyesha matumaini mapya hasa nilipo msalimia aliniitikia na kutabasamu muda mwingine alilengwa na machozi... hakika DOKTA alisema hizo ndizo dalili za kuvuta kumbujumbu... wakati mwingine DOKTA alikwenda na BULLA nisipo pajua... alifanya hivi kwa moyo wa kujitolea.. SIKITU alizidi kunilea pale alipo... ..""Nilikua nimekaa nimetulia chumbani kwa SIKITU nikiangalia kalenda iliokua imetundikwa ukutani... nikiona siku zimejongea nikaikumbuka siku na tarehe ya kesi yangu... ilinipasa niende kwa DK SHIJA kumtaarifu juu ya kesi yangu.. kua imefikia.. Aliniahidi atanipeleka na yeye akashuhudie huku akikumbuka pia ... dada yake anae endelea kuteseka GEREZANI... hakua na imani tena na serikali ya nchi yake.Asubuhi na mapema nipo Kizimbani... nikiamuriwa na Askari niingie lockup kwaajili ya kuitwa kusomewa kesi...muda ule..

JAY DEE..ATUMA MAJENEZA..ATISHA MASHABIKI WAKE

Image
Msanii Nguli na mwanamuziki pekee wa kike anaetamba na miondoko mbali mbali ya muziki wa TANZANIA anaetambulika kwa jina la KOMANDO JIDE.... (JUDITH WAMBURA)...  Ametisha washabiki wake liiiive baada ya kupost picha ya majeneza mawili..huku akichagua litakalo mfaa.. katika ukurasa wake ""mitandaoni"" na kusema  """I've changed my mind Sitaki tena lile la purple Moja kati ya hayo hapo juu #MsiMind #KilaMtuAtakufa #Msiogope Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only #SitakiKufunuliwa"""" Maneno hayo yamekua kama yanatisha kwa wale waoga wa vifo... Ila JIDE ametafsiri maneno hayo kua ni moja ya kukumbusha... watu kua watambue kua kuna kifo...........wasijisahau... "" Hapo Hapo Msanii  huyo pendwa LADY JAYDEE anataraji kufanya shoo moja na mwanamuziki ALLI KIBA.. siku ya tarehe..27 maeneo ya NYUMBANI LOUGE... Majeneza aliotuma ladyjaydee(komandoo)

ZAWADI KWA NISHA PART 4

Image
PART 4 Mwenyekiti wa mtaa JENGUA aliyatambua yote yaliokua yanaendelea katika pori lile.....maana kabla ya yotee watu wale hupita nyumbani kwake...mwenyekiti.. hata ilipopatikana mizoga... aliwaamuru vijana waende wakazike miili hiyo.... NISHA alisumbuliwa sana na mawazo hayo  kwani hakujua ninini kazi ya wale watu na jama ilikua ni kawaida yao kwanini walkuja kufanyia hayo katka mwitu wa kijiji chao.... 🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬 NISHA alitoka hadi katika maporomoko ya mwitu akiwa na JENIFER wakitafuta kuni..za matumizi ya nyumbani JRNIFA Alikua muongeaji sana hasa alipokua na NISHA... JENIFFER... Alipiga kelele... NISHAAA📢📢📢📢 Nishaaaaaa NISHA alitoka mbio huku akimfuata JENIFFER akijua labda kangatwa na nyoka.... alipofika  JENIFER ALimuonyesha NISHA mwili wa mtu mzima wa kiume umetupwa... NISHA alimziba mdomo JENIFFER na akamuamuru waondoke... Walipokua njiani.... wanarudi nyumbani kwa mwendo wa kasi ghafla wanakutana na mwenyekiti  wa kijiji... MZEE JENGUA.. JENNIFER akaanza

JE UNAMTAMBUA MTU MAARUFU ALIOZALIWA LEO MARCH 26

Image
KEIRA CHRISTINA KNIGTLEY Christina Knightley alizaliwa katika kitongoji cha South West Greater London ya Richmond manamo  Machi 26 1985. Yeye ni binti wa muigizaji Will Knightley na mwigizaji akageuka Mtunga Filum Macdonald. kaka yake, Kalebu Knightley, alizaliwa mwaka 1979. , wakati mama yake Scottish mzaliwa wa Scotland na asili yake ni Welsh.. kazi ya wazazi wake hao.kupelekea mtoto wao hadi kuzama katika taaluma kaimu kutoka pande zote mbili - kuandika na kufanya - ni ajabu ndogo ya kwamba Keira  alipelekwa kwa msimamizi  akiwa na umri mdohi sana ... yeye alianza sanaa ktk umri wa miaka mimatu... alianza kuzionyesha dalili mahususi kua anapenda kuigiza ..Yeye ilipewa fursa moja katika umri wa miaka sita na kutumbuiza katika nafasi ya TV kwanza kama "Little Girl" katika Screen One: Royal  (1993),alikaa hapo mpaka alipotimiza umri wa miaka saba.

sweetstoryz: MAHABA ZONE

sweetstoryz: MAHABA ZONE

MAHABA ZONE

MCHUDHI WA MAPENDHI TINA aligonga mlango na nikamruhusu aingie hadi ndani... muda tilioahidiana hakupoteza hata chembe... nilijiandaa kwa kupuliza manukato katika chumba changu.. hakika kilinukia🌷 .sikua na shaka na uwepo wake leo maana mitihani ilikua imekaribia na aliomba ruhusa kwamba anakwenda kwa kina Angel kusoma. Ilikua fursa ya kipekee mimi leo kuwa na Tina kwa ukaribu zaidi.. hakika nilitamani nijroeke na aninywe supu kwa jinsi nilivyokua nina ashki.... Mmmh nilimpokea begi la madaftari na kuyaweka pembeni... nilijapachika ualimu kwa muda.. Nikamvuta Tina kutoka pale alipokua amekaa katika kisofa changu kidogo... nilimueka hadi kitandani.. hakuweza kusema lolote zAidi ya kung'ata kucha zake zisizoisha... mchezo unaofuata ulitambulika kwakua kila mmoja akijiandaa kwa pambano.. ""nilimvua blauz yake iliokua ya materio ya mpira ..nami nilivua singland yangu.. nikabaki kifua wazi huku yeye akibaki na sidiria nyeupe ilioshikamana na matiti yake makubwa kiasi

ZAWADI KWA NISHA PART 3

PART...3 Maneno ya RIYAMA ndio yalikua silaha kuu pale gerezani hakupanda kuonewa.. hata kidogo ...mara nyingi aligombana na manyapara pale walipomlazimisha jambo asiolitaka... waliona wavunje sheria wamuweke katka greza la wanaume kwa jinsi alivyo na vurugu... sheria ziliwabana hawakuweza kufanya hivyo.... Kujiamini kwa RIYAMA kulimpa ustahimilivu na kutokuogopa kwa NISHA kwani alikua ndio rafiki yake mkuu katika gereza lile.. NISHA hakuwahi kukosa chakula kwani RIYAMA aliogopeka gereza zima muda wa chakula alibeba sahani mbili na wala hakujali foleni alimuekea NISHA na yeye kisha walienda kula... na walijitenga peke yao..... .. ..🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬🎬 NISHA na RIYAMA hawakupenda kulala sana katika mida ya usiku...mara nyingi walizungumza hasa wanapokua wamejitenga.....kwani wakiona ndio njia nzuri ya kuepuka baridi na mbu...... .........................,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Muda huu NISHA alionekane akiwa na huzuni na RIYAMA hakuPenda kitendo kile... Mara nyingi aligo

pART 2

TZAWADI KWA NISHA. PART 2 maisha yalikua chungu hasa kwa hii historia ya mama.aliokua ananipa..kila tulivyokua pamoja nilijihisi nahitaji msaada wa mtu wa tatu ambae amebaki historia nae ndio baba yangu mpenzi..... .....hali ya mama ilizidi kubadilika ilifika kipindi ilinipasa niache shule..kulingana na tabu aliokua akiipata mama.... ..nilipata shauku sana yakutaka kujua storia ya baba..ila niliogopa kumueleza mama animalizie hadithi kutokana pindi alipomtaja baba presha ilimpanda...nilisema na moyo wangu...huku nikimtizama mama kwa roho ya huruma.. ... ... Siku moja NISHA yupo katika pirika za kutafuta kuni ili akapate kumpikia mama yake... Alimuona mtu mwenye mwili mkubwa mandevu yalimshamiri mithili ya @mwarabu_fighter alipanda hewani kisha alitisha...sura Alimuona akija katika njia ile ile aliyokua anarudia nyumbani NISHA alipunguza mwendo.na mwendo wa jitu yule ulimtisha NISHA.. alitoa macho kwa ishara ya kuogopa..... Akautupa mzigo wa kuni chini nakukati

ZAWADI KWA NISHA ...PART 1

                                     ZAWADI YA NISHA📦 Part 1  Ilisikika sauti ya NISHA... ....: BABA yangu mzee GOBA alisifika sana katika uchoraji .na hii ndio iliopelekea walimu kiniambia nimemrithi tabia za baba yangu katika uchoraji... mimi niliona ni maisha ya kawaida ktk kazi hiyo mara nyingi alimchukua mama katika matamasha mbalimbali ya uchoraji... Baba yangu Alitumika serikalini katika ofisi za makumbusho alichora picha mbali mbali zilizoonyesha ukombozi wa uhuru wetu... sina uhakika na ujira wake kama ulimpa faida ila hii ndio ilikua kazi yake... ilioweza kumtunza mama kipindi ana ujauzito wa mimi tumboni..... ....maongezi haya nashindwa kuyatafsiri ikiwa mama ananisimulia ilihali akiwa na maisha yasio ridhisha nilisumbuliwa shule nisipate hata pesa ya kukithi michango... sasa je umuhimu wa baba uangu serikalini ulikua ni upi... ..hilo ni swali nililokua namuuliza mama kila siku..iweje tulikua na maisha mabovu katika muda ule tuliishi kijijini ilihali historia ya baba