Posts

Showing posts from October, 2015

WIZI MITANDAONI

Halo Watanzania...naitwa.. ni bloger Mmiliki wa @sweetstoryz14.blogspot.com mimi  mchunguzi wa kujitegemea wa Muda mrefu... kuhusu matukio ya Uhalifu Mitandaoni....   Cybercrime Naelewa ni ngumu sana kufuatilia namna matukio yanavyofanyika ila serikali na chombo husika inapasa kiwe makini sana TCRA... UFUATAO NI USHUHUDA WA MATUKIO YA UJAMBAZI MITANDAONI AMBAO NIMEUCHUNGUZA NA KUPATA MATOKEO..... #Fuatilia na umtaarifu na mwenzako... 👇👇👇👇👇👇👇 Wamekaa matapeli chini na wakagundua njia madhubuti ya kufanya matukio ya uhalifu kwa njia ya ujambazi kwa asilimia 70 wameshawaibia Watanzania wengi sana.... 😫😫😫😫 NA HUU NDIO USHUHUDA 😫😫😫😫 namba nitakazo zitoa hapa ni za kweli na wahusika ndio wanazitumia  ila majina ni feki endapo utawatafuta kwa namba hizo wasipo patikana basi huwa wanazitumia katika uhalifu na wanazifungia..... 😆😆😆😆😆 📱))) unapigiwa simu na mtu ataejitambulisha jina na akakutaja jina lako kabisa na sehemu ulipo (mkoa) hii hutumia google map pho

40 YA TIFFAH MADENI MATUPU YAACHWA...DAIMOND ACHOROPOKA.

Image
ONA SASA Kuna madai kwamba, ile pati ya kutimiza siku 40 kwa mtoto wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’ iliisha huku nyuma ikiacha madeni ya kiasi cha shilingi MILLIONI na ushee   ... ...... ... Ni siku ya 11 sasa, kampuni iliyopewa tenda ya kupamba kwenye shughuli hiyo iliyofanyika nyumbani kwa staa huyo, Tegeta-Madale, Dar ya Rachel Decorations imejipambanua kuwa, inamdai DAIMOND  kiasi hicho cha fedha na hakuna Dalili ya kulipwa   MPEWA TENDA ANENA...ACHARUKA Meneja wa kampuni hiyo ya mapambo aliyejitaja kwa jina moja la LUTENGANO , alisema wiki moja kabla ya sherehe hiyo iliyokuwa na shamra shamra, dada yake Diamond, Esma Platnumz alitafuta kampuni hiyo na muhusika...wa kupamba na kumwambia kuwa, kuna kisha wakaenda kwa baba Tiffa (CHIBU) kwa ajili ya makubaliano ya kifedha na baadaye wakaafikiana kwamba, afanye kazi kutokana na kiasi cha fedha alichoahidi...Maana BABA TIFA alitaka bajeyi kubwa tofauti na walioipanga ili p