Posts

Showing posts from July, 2015

WACHINA WAKAMATWA WAKITENGENEZA MAJI YA KILIMANJARO FEKI

Image
Huku tukijinadi kua tuna rundo la wawekezaji nchini ... huku tukishindwa kufuatilia uwekezaji wao ni wa aina gani... Kumekua na viwanda bubu kila kona ya nchi yetu ambavyo vinaendesha shughuli zao kinyemela nyemela... Matukio ya uwekezaji feki ambao unakadiriwa ni moja kati ya ufisadi wa nchi.... je kosa ni la nani la Waziri wa Viwanda na makazi au.?....(jibu unalo) Nani ambae anapitisha miradi na uwekezaji wote wa wageni wote hapa nchini..? Kiwanda vha BBL kilichopo..... SHIRIMATUNDA Mkoani KILIMANJARO ambacho kinamilikiwa na kampuni ya IPP ambayo inamilikia na mh REGNALD MENGI.. ambacho kinajihusisha kutengeneza bidhaa na kuzalisha vinywaji vya cocacola pamoja na uzalishaji maji safi ya KILIMANJARO ambayo yananywewa nchi nzima hadi visiwani Zanzibar pamoja na nchi jirani.. huku kiwanda hichi kikijitahidi kwa kazi hiyo nzuri.. kumbe kuna ubadhilifu wajanja wanaita kusaidiana...  Raia wenye asili ya CHINA wakamatwa wakizalisha takribani tani kadhaa za maji ya KILIMANJARO... jijini

UFISADI ASILIMIA 90 HAKUA LOWASA...

Image
- Je, wakati fedha za Mkonge kupitia mfanyabiashara aitwaye CHAVDA zinaibiwa Lowassa alikuwa waziri mkuu? Alikuwa malecela!. - Madini ya dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa ndege wakati wa Rais Mwinyi yalikuwa ni madini ya Lowassa? - Wakati Akasha wa dawa za kulevya anakamatwa na kutoroshwa aliyehusika ni Lowassa? Waziri Mkuu alikuwa Malecela. - Mrema alipolipua bomu la mwenyekiti wa CCM kuhongwa milioni 900 za minofu ya samaki alikuwa ni Lowassa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye . - Kashfa ya sukari alikuwa ni Lowasa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye. - Kashfa ya Loliondo gate 1992 ya mtoto wa mfalme wa Kuwait alikuwa ni Lowassa? Kinana na Abubakar Mgumia walihusika. - Wanyama hai kutoroshwa nje ya nchi alikuwa Lowassa? Waziri mkuu Pinda. - EPA aliyeidhinisha fedha zichukuliwe alikuwa Lowassa? Mkapa na Mangula wanajua. - NBC Bank kuuzwa alikuwa Lowasa? Mkapa na Sumaye wanahusika. - Kiwira alikuwa Lowassa? Mkapa na Sumaye wanahusika. - Rada na ndege ya rais alikuwa Lowassa? Mkapa, Chenge na

HEE! NISHA ATEKWA CHINA.. AWA TISHIO

Image
Msanii wa Maigizo na Filum za umakini na zile za kuchekesha nchini Tanzania mwanadada NISHA... (SALMA JABU) Ambae majuma kadhaa yaliopita aliingia katika Vichwa va habari baada ya kushutumiwa na baadhi ya vyanzo vya habari kua amekwenda CHINA kwa mwenza...(MCHUCHU) Shutuma hizo ndiyo ambazo zilimuangukia NISHA alizijibu kwa aina yake baada ya kumuonyesha mpenzi huyo ambae alimfuata huko CHINA... Ila tafsiri alioitoa NISHA ni kua hakwenda CHINA hivihivi ila amekwenda kwaajili ya SANAA ambayo ndio kazi inayomzunguka maisha yake ... na kusema katika swala la mahusiano huko CHINA atakua yeye kama yeye.. ndio hali iliopelekea mwanadada huyo kujimiliki mwenyewe katika mahusiano.. NI TISHIO Nisha hivi juzi kati alianzisha sintofahamu katika  mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akiwa ametokelezea... katika maeneo mbali mbali  huko nchini CHINA... mwanadada huyo alionekana mitaa mbali mbali akiongozana na wenyeji wa nchini humo huku akizua fununu kwa  raia wa nchini Tanzania ambao wanais

DU! ALLYKIBA HII NI ZAIDI YA SIRI....DAVIDO ATUMBUA JIPU..R KELLY.... CHRISS BROWN WATAJWA....

Image
Ally S Kiba  (Ally Kiba) msanii wa Tanzania  nguli na nyota wa mziki wa Bongo flaver... mmiliki wa Tuzo 5 ZA kili Music award 2015... Hivi majuzi imesemekana mkali huyo wa Bongo Amekua akifanya mambo yake kwa siri bila kujionyesha na hii ndio inayomfanya Nguli huyo azidi kua gumzo na kuzidi kung'ara katika Soko japo ni wakitambo kidogo.. Hapa nchini wasanii wengi wamekua wakishindwa kudumu katika umaarufu kutokana na kile kinachodaiwa kufanya mambo yao kwa pupa na bila mpangilio.. ila kwa Allikiba imekua ni Tofauti.. DAVIDO ATUMBUA Msanii mkali wa miondoko ya Skeleu huko nchini Nigeria na mtetezi wa tuzo ya Msanii bora wa kiume katika Tuzo za MTVMAMA za mwaka 2015.. msanii Davido ..Alitumbua jipu (siri) ambayo haikuwahi kusikika... iliohusiana na kutoa nyimbo na msanii mkubwa wa Tanzania ambae ni Allikiba  .. Davido ameshawahi kufanya ushirikiano ambao ulileta mafanikio kwa msanii wa Bongoflaver nchini Daimondplutnums ambae nae alibahatika kupata Tuzo ya msanii bora mtumbuizaji

JOKATE..."TUZO YA DAIMOND YAONESHA WANAFKI WANGU... BABU TALE ..DAIMOND WATAJWA

Image
Huku hongera kama mvua zikishuka kwa mkali wa mziki Bongo  Daimond Dangote.. baada ya kupata Tuzo ya MTV MAMA  ...huku akishukuru Mashabiki zake kwa kuweka maneno matamu katika kurasa yake... Pongezi hizo zimekua ni za pekee baada ya kuitangaza Tanzania kwa kuipeperusha bendera  ya Burudani.. Mkali huyo aliotwaa Tuzo hiyo alikua na mastaa kibao wa Afrika kama Davido Yemi na wengi.kutoka Nigeria... DAI AMTIBUA JOKATE mkali huyo mshindi wa tuzo ya mburudishaji bora.. amemchefua staa mwenzake JOKATE MWEGELO.. mwana mitindo huyo na mshiriki wa miss Tanzania miaka iliopita ambayo inadaiwa alishawahi kua mpenzi wa Chibu aka Dangote   .. alionesha hali ya kuchukizwa baada ya Chibu kutoa kinyongo Kwa kurusha video ambayo ina muonesha JOKATE akiserebuka nyimbo ya mdogomdogo... ingawa video hiyo ni ya kitambo na haihusiani na ushindi wa Daimond.. JOKATE alitoa ya moyoni.. na kuwaorodhesha watu ambao hakudhani kama wangesapoti kile alichokifanya Daimond bila idhini ya JOKATE UJUMBE ALIOTOA JO

MTV WAKIRI KUA MASHABIKI WA ALLIKIBA WAMPA TUZO DIAMOND

Image
Wakati Tanzania ikizidi kung'ara katika nyanja ya mziki.... mkali wa Bongo Flaver NASIBU ABDUL maarufu kama DIAMONDPLUTNUMZ.. akisaidia hilo baada ya kunyakua Tuzo ya Mtumbuizaji bora katika Tuzo za MTV MAMA huko Sauth Africa . Tuzo hizo zinazowashirikisha wasanii kedekede wa Africa Katika mchakato wa kupendekeza majina Tanzania ilibahatika kutoa wasanii wawili waliokua katika kategory kadhaa.. akiwemo Vanesa Mdee (V Money) na Nasibu (Diamond). Katika upigaji kura ulioelemea katika mitandao kulionekana kua na kampeni kubwa sana huku baadhi ya washabiki wa Tanzania wakijigawa katika makundi kutokana na ushabiki...uliowalenga Davido na Diamond.. huku Davido msanii wa Nigeria akijikusanyia wapiga kura wengi wa Tanzania waliokua hawapendi kile anachofanya Diamond (kwa hali ya ushabiki) Mashabiki hao walioonesha kumuunga mkono Davido katika swala la kura na promo .. Team ambazo zinajulikana kama Team Kiba na Team Wema.. hii ilitokana na Wasanii hao kuonesha kuunga mkono katika kurasa

NISHA AZUA BALAA LINGINE

Image
Mkali wa vichekesho mwanamke Bongo SALMA JABU NISHA ...na mwanamke pekee aliokua na utajiri wa vipaji lukuki... hivi karibuni azua tafrani katika mitandao ya kijamii.. TAFRANI Mwanadada NISHA alitoa kanyaboya iliofanya watu wakambatiza majina ambayo mengine yalichekesha kwa utamkaji wake.. Mashabiki walivutana huku na huku eti kwa lengo la kumtafutia jina ambalo litamfaa .. hiyo ni baada ya kuitangaza ndoa ya yeye mwenyewe.. Mashabiki walipokea mpira huo ambao ulikua na mtihani wa kuteua jina zuri atalolipenda kwani aliahidi itampasa abadilishe jina hilo..baada ya kuitangaza ndoa yake. ALIPATA JINA Nisha alivurumishiwa mvua ya majina kutoka kwa mashabiki wake huku jina hilo likiwataka waendane na cheo chake alichojipachika baada ya kuolewa.. Hata hivyo kutokana na majina yote hayakuendana na nia na dhamira ya yeye kujioa alionekana kuyapishilia mbali.. huku akiendelea kubaki na jina lake linalompa ugali ....jina la NISHA BEBE... TETESI fununu zina dai kua mwanadada huyo yupo m

NISHA AMEJIOA MWENYEWE , WABONGO WASHIKWA NA BUTWAA

Image
Usipo staajabu ya Mussa utayaona ya Farao...  huo ni msemo ambao umejitokeza katika vinywa vya watu huku wakibaki mdomo wazi baada ya kushuhudia Mwanadada NISHA (SALMA JABU) Akitoa kali ya mwaka... Msanii wa Comedy ambae anakadiriwa kua ni wapekee wa kike Africa Mashariki ikiwemo Kenya Uganda na Tanzania katika nyanja a uchekeshaji..... Akiwa nchini China nchi iliyogubikwa na Teknolojia ya hali ya juu... NISHA alitangaza kua ameamua kujioa yeye mwenyewe... huku Aina hiyo ya ndoa ikiwa na Sitntojua kua ni ya kabila gani na kwanini aliamua kuichagua China kua ndio sehemu pekee ya kutekeleza jambo hilo....huku akivaa mavazi nusu nusu... aina hii inatambulika kama (Shemale) duniani.. huenda akawa msanii na mtu wa kwanza kufanya tukio hili la pekee nchini... Tukirudi katika maadili ya nchi Tunagundua kua aina hii si moja kati ya zile ambazo zimekatazwa kwani ameamua kujimiliki mwenyewe..bila kuvunja sheria...za maadili ya nchi. Hivyo sheria ya nchi haiwezi kumtuhumu kama wanavyotuhumiwa

HATIMAE MPENZI WA NISHA AJULIKANA HUKO CHINA

Image
SIKU CHACHE TU Baada ya mwanadada Salma Jabu Nisha kwenda ughaibuni huku nyuma akiacha sintofahamu baada ya kudaiwa  Mwanadada huyo Amekwenda kwa mwanaume ambae huenda akawa na mahusiano ya Mapenzi na ikidhaniwa kua pengine Mwanaume huyo ndio aliompa mualiko huo... ""Magazeti ya udaku nchini yaliripoti udaku huo huku wapenzi wa NISHA wakiwa Vinywa wazi na Sintofahamu hiyo ya Mwanadada mkali wa vichekesho bongo  na kile kinachoendelea huko china.. HALI ILIVYO CHINA Hali imekua ya kustaajabisha huko China baada ya mwanadada huyo kutamka hadharani kua  yale magazeti ya Udaku kile walicho ripoti  na  kuwafanya mashabiki wabaki njia panda.. kinahitajika ufafanuzi..na ukweli ndani yake. MPENZI MPYA.. Huku mashabiki na walio na shauku wakitega masikio na macho kutaka kumuona mpenzi huyo wa NISHABEBEE imekua ni vichekesho na sintofahamu juu ya mpenzi huyo aliojitambulisha kua ndio mpenzi wa NISHA.. ila mpaka blog hii inaingia mtandaoni haikubaini kua mPenzi huyo ni raia wa Nchi

LINEX ATAFUTA MCHUMBA FURSA KWA MA SINGLE DADA

Image
Sunday Mjeda aka LINEX  anaejiita VOA (Voice Of Africa)....anaetamba kwa nyimbo ya SALIMA alioshirikiana na Baba Kijacho Aka mupenzi ya bosslady Zari.. shemeji ya wauganda wanaemuita CHIBU DANGOTE (Diamondplutnums).. Hivi karibuni LINEX ametoa fursa mwanana baada ya kutamka hadharani... kua Anamtafuta mupenzi ya kumvisha pete.. .. Huku idadi ya namba ya wasanii wanaotamka wazi wazi kua wanahitaji wapenzi ikiongezeka baada ya mwanadada  Mfupa Bila kiuno... kiuno bila mfupa wa zamani.. Ray C.. hivi juzi kati na yeye alitoa dukuduku la kutafuta Bwana kwa kila hali na akatoa sheria zake atakae zimudu basi angekua muke ya Rayc.. (Basi oaneni LINEX na Ray C)

NISHA AWAWEKA MASHABIKI NJIA PANDA YA CHINA

Image
Msanii wa Maigizo mkali wao hapa Bongo mwanadada mahiri mwenye vipaji lukuki katika Tasnia ya BONGO MUVIE... SALMA JABU (NISHA) awaacha Watanzania na Sintofahamu ya kutoelewa nini anamaanisha....baada ya kutuma maneno Kuntu katika moja ya kurasa zake.. Msanii huyo hivi majuzi alipata shavu la aina yake baada ya kupata mwaliko mkubwa wa kwenda Ughaibuni(CHINA) kutokana na shuhuli zake za Kisanaa.. Huku safari hiyo ikiwiva.. mkali huyo wa vichekesho na tajiri wa kubadilika badilika katika kiwanda cha Bongo Muvie.. amenukuliwa akisema... """ ・・・ Nna suprise kwenu wapenzi..ingawa suprise haisemwi ila mi nimetahadharisha tu,Tafadhali naomba muyapokee  maamuzi yangu hayo ntakayoyachukua... pls isije  kugawa  mashabiki zangu.. kikubwa sintobadilika kitu ntazidi  kuwapenda ... Safari yangu ya China ina vipengele  A na B.. hiko A ni mtihani mtupu ila mtanivumilia.. #Alamsiki... nawapenda wote.. ... ... Msanii SALMA JABU NISHA

MAELFU WAMPONGEZA NISHA

Image
Huku Msanii wa  Bongo Muve Salma Jabu (Nisha) akiwa amepata shavu la aina yake baada ya kupata fursa ya  kwenda ughaibuni... kwaa ajili ya sanaa yake.. ya kuigiza.. Maelfu ya Mashabiki wamempongeza kwa fursa hiyo kwani imekua safari ya ufunguo kufungua sanaa yake kua ya kimataifa... nakuitangaza nchi yetu ya Tanzania kwa hatua ya aina yake... Mashabiki walitumia muda mwingi kumtakia mafanikio...hayo Hivi karibuni NISHA alitoa sababu zilizomfanya kuvutiwa uzi huko ughaibuni na kupata mwaliko huo... ambao ni wa matumaini kwa mwana dada huyu wa pekee... ni baada ya lile tukio la kuigiza na kutuma picha katika mitandao kama ametuna katika nguo yake na kumfanya akaonekana kama ana muonekano wa kiume...(ni ile picha ambayo walimuunganisha na OMMY DIMPOZ na MARTIN KADINDA) (katika hali ya sanaa yake) ""Picha ile ilisambaa ulimwengu mzima... na kuvuka mipaka hadi nchi ya Italy... na barani Asia... "Bw..Alesandro muuza Duka la bidhaa za manyumbani  raia wa Napoli Italy alish