Posts

Showing posts from April, 2016

GAMBA MTAMU ANAEKUJA KUIBADILISHA TASWIRA YA MUZIKI WA BONGOFLAVER

Image
NA MUANDISHI mudi bellino ISSA SHABANI MAVURA ( GAMBA MTAMU) msanii wa muziki wa Tanzania maarufu kama  Bongoflava, Ambae aliwika na kibao cha Maiyo  alichokifanya kwa projuza  Tris. Daresalam. Baada ya kibao hicho GAMBA  hakulaza damu akachomoka na kibao chake kipya ambacho ndicho kilicho fanya Sweetstoryz blog  kumtafuta.GAMBA knachotambulika kama YOBORA. YOBORA ni nyimbo ambayo imemfanyia mapinduzi sana GAMBA  kibao kilichofyatuliwa katika studio mpya zinazomilikiwa na  prodyuzer anaekuja kwa kasi anae julikana kwa jina la Cyrus. Studio hizo zipo katika mjini  Moshi mkoani Kilimanjaro. GAMBA hakusimama peke yake katika YOBORA amemshirikisha Top B msanii pendwa mkoani KILIMANJARO. GAMBA MTAMU Blog ya sweetstoryz   ilitaka kujua undani wa safari ya Gamba mpaka Moshi Mkoani KILIMANJARO kumtafuta SYRUS. " mimi Moshi ni nyumbani kabisa ila nimekua nikitoka katika mipaka ya mkoa huu katika kutafuta ngawira na ramani ya kuweza kuto

KUTANA NA MBUNGE ALIETUMIA VIDONGE VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KAMA RUSHWA YA KUJIZOLEA KURA KATIKA UCHAGUZI

Image
Atumia vidonge vya nguvu za kiume kuzoa kura 15 April 2016 Atumia vidonge vya nguvu za kiume kuzoa kura Katika mataifa mengi ya Afrika wakati wa uchaguzi wanasiasa hutoa pesa ilikuwashawishi wapigaji kura kuwachagua. Lakini huko Korea Kusini amini usiamini, polisi wameanzisha uchunguzi baada ya kuibuka madai kuwa wapiga kura wenye umri wa makamo walimpigia mwanasiasa fulani eti kwa sababu aliwapa vidonge vya kuongeza nguvu za kiume! Yamkini mwanasiasa mmoja aliwashawishi watu hao wenye umri wa makaomo kwa kuwapa vidonge. Mbunge wa eneo hilo la Suwon iliyoko karibu na mji mkuu wa Seoul ndiye anayetuhumiwa kwa njama hiyo. Suwon ilishuhudia upinzani mkali katika uchaguzi uliofanyika Jumatano iliyopita. Mbunge wa eneo hilo la Suwon iliyoko karibu na mji mkuu wa Seoul ndiye anayetuhumiwa kwa njama hiyo. Jina la mshukiwa mkuu halijatajwa hadi ushahidi utakapopatikana. Hata hivyo uchunguzi wa msingi umethibitisha kuwa mgombea huyo alikuwa na kiwango kikubwa mno cha

KUMAMOTO YAKUMBWA NA TETEMEKO

Image
Tetemeko la ardhi latikisa Kumamoto Japan 15 Aprili 2016 Tetemeko la ardhi latikisa Kumamoto Japan Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa maeneo ya kumamoto Kusini mwa Japan na kusababisha uharibifu mkubwa. Msemaji wa serikali ameiambia BBC kuwa tetemeko hilo lenye kipimo cha 6.4 katika vipimo vya Richter ilitikisa mji wa Kumamoto na kisiwa cha Kyushu. Maeneo ya mashariki ya mji wa Kumamoto ndiyo yaliyokuwa kitovu cha tetemeko hilo. Vituo vya kuzalisha umeme kwa nguvu za kinyuklia vya Sendai na Genkai vyote viko katika kisiwa cha Kyushu. Msemaji wa serikali ameiambia BBC kuwa tetemeko hilo lenye kipimo cha 6.4 katika vipimo vya Richter ilitikisa mji wa Kumamoto na kisiwa cha Kyushu. Majengo mengi yameporomoka katika mji wa Kumamoto na polisi wanashuku kuwa huenda watu kadhaa wamefukiwa na vifusi vya majengo yaliyopotromoka. Afisa mmoja wa katika kitongoji cha Uki nje kidogo ya Kumamoto anasema kuwa hata jengo la baraza la mji umeathirika. Msemaji wa serikali Yoshi

MTOTO WA ANNE KILANGO MALECELA ATOA DONGE NONO

Image
HABARI ZA MOTO Mfalme wa mitandao Tanzania maarufu kama LEMUTUZ NATION mtoto wa Muheshimiwa ANNE MALECELA  ameahidi kutoa zawadi ya Donge nono zaidi ya laki Tano (500000) kwa atakae fanikiwa kuwapata  wahusika wa uhalifu wa makosa ya mitandao.. ambao walihusika na kumtolea lugha ya matusi LEMUTUZ  baada tu ya mama yake kupatwa na matatizo ya kuezuliwa ukuu wa mkoa. LEMUTUZ amesema ameshawatambua hivyo wajisalimishe na si kukimbia. LEMUTUZ NATION NUKUU KUTOKA MITANDAONI Guys the uptodates ni kwamba Mimi kwa kushirikiana na Polisi tunawatafuta WATU 2 kuhusiana na kesi ya..... "LUGHA ZA MATUSI KWA NJIA YA MITANDAO OB/RB/6806 OSTERBAY POLICE" .....now ninaomba kuwaambia hawa watu kwamba sina msamaha nao na this is a war tena walioitaka wenyewe .....najua kwamba wote wanajua kuwa wanatafutwa na wote wamekimbia majumbani mwao sasa wanajificha ficha huko Mbezi.....nawakumbusha tu jitoeni nendeni Police Osterbay mtoe maelezo Kamili tujue nani

EXCLUSsIVE NEW!! VIDEO (KWETU BY RAYMOND WCB)

BONYEZA HAPO CHINI KUTIZAMA VIDEO.. KWETU    by   RAYMOND 👁👁👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👁👁 👁👁👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👁👁 Youtu.be/2uiFXUMVq5w TANGAZA NASISI HAPA.....  0656278685

JINAMIZI LA KINAIGERIA LINALOMTESA MOSSE IYOBO

Image
Kuna msemo unasema  Duniani wawili wawili hali hii inamfanya mkali wa Dansi wa WCB anaetambulika kwa jina la Mosse Iyobo mzazi mwenza na Auntyezekiel. Mose Iyobo ameingia katika Tafrani baada  ya kufananishwa na Mcheza michezo ya uchafu (picha za ngono ) swala ambalo limezua tafrani mara nyingi.. Mtu huyo anaejulikana kwa jina la KINGTBLAKHOK amekua akipiga picha tofauti akiwa na wanawake katika mazingira ya ngono wakiwa watupu na kuzirusha mitandaoni.            Mnaigeria KINGTBLAKHOC katika pozi ASEMEKANA  taarifa kutoka Nigeria zinasema mtu huyu ni mfanyabiashara mkubwa na ni maarufu kwa picha za ngono. amekua ni muuzaji maarufu wa picha hizi nchi za nje. pia inasemekana ni mchezaji wa picha za video ngono na Amejikusanyia pesa nyingi kwa biashara hiyo inayompa ujeuri. MOSSE IYOBO akiwa na mzazi mwenzake AUNTYEZEKIELY                   Mnaigeria KINGTBLAKHOC WATANZANIA WANONG'ONA inasemekana Mnaigeria huyo anamjua Mosse Iyobo ndio maana baada ya kuona Watanzania wamejaza

check vdeo ya MAUA SAMA MAHABA NIUE

Image
VIDEO MAUA SAMA   MAHABA NIUE JE WEWE NI MSANII CHIPUKIZI UNATAKA KUSIKIKA UNATAKA PROMO UWEZE KUSIKIKA CALL  0656278685

ALICHOSEMA NISHA KUHUSU SAFARI ZAKE ZA CHINA NA FURSA YAKE MPYA

Image
BONYEZA HAPA KUANGALIA https://m.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=ZL9BDGRV1Ng

KUTUMBULIWA KWA MKUU WA MKOA ANNE KILANGO MTOTO WAKE AFUNGUKA MAZITO

Image
Baada ya kile kinachoonekana ni ukatwaji au lugha ya kisiasa kwa sasa tunaiiita kutumbuliwa jipu,  Ndio hali iliomkuta aliekua mteuliwaji wa cheo cha uongozi wa mkoa (MKUU WA MKOA) MH ANNE KILANGO MALECELA... ambae hivi karibuni aliteuliwa na Mh Raisi JOOSEPH POMBE MAGUFULI. LEMUTUZ akiwa na mana yake Mh Anne Kilango Malecela Kufuatiwa Mh Anne Kilango kupewa maagizo ya kutumbua watumishi hewa wa serikali katika mkoa SHINYANGA ambao alikabithiwa na kutoa majibu kua hakukua na watumishi hewa..  swala ambalo Muheshimiwa Raisi alilitia mashaka na kulifuatia undani  Na kugundua kua wapo watumishi hewa zaidi ya 40  Hivyo kuona Muheshimiwa Anne ametoa taarifa za udanganyifu. Maamuzi ya kuahirisha uteuzi wa muheshimiwa Anne kuliambatana mkurugenzi wake ambae huenda akawa ni muhusika mkuu pia...  Dr JPM raisi wa Jamhuri ya Muunggano wa Tanzania, Alionesha kusikitishwa kwake kwa Mh Anne kwa kutoa taarifa za uongo. Mh Raisi alipomaliza kusema hayo ikulu alisema pia atampangia katika na

MOTO WATEKETEZA MADUKA KAGERA

Image
BREACKING NEWS!!! MADUKA YATEKETEA MOTO KAGERA •Maduka 150 Yaungua Moto Kagera Moto mkubwa umezuka na kuteketeza vibanda vya maduka zaidi ya 150 katika mji wa Kayanga wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera magharibi. Moto huo ambao ulianza jana majira ya saa 2:00 usiku umeteketeza mali na bidhaa za aina mbalimbali kama mchele, sukari, nguo, simu, pamoja na bidhaa zingine. Gloria Kilio ambaye alikuwa akiuza vyakula vya nafaka, amesema stoo zake zote tatu (3) za nafaka zimeungua, “Stoo zilikuwa na magunia ya unga, mchele na sukari lakini vyote vimeteketea,” amesema Gloria huku akilia. Anasema wakati moto unatokea alikuwa tayari amekwisha kwenda nyumbani na kuwaacha wafanyakazi wake wakimalizia kufunga vibanda. Wafanyabiashara wengi wanasema walikuwa na mikopo na wengi wao hawana bima ya mali zao. Jonasi Nyarugenda ni miongoni mwa wafanyabiashara hao: “Moto umeteketeza stoo zangu nne zenye bidhaa mbalimbali kama sukari, mchele, ngano na mafuta,: anasema Jonas na kuongeza, “kwakeli

MASTAA WANAOONGOZA KWA KUA NA MASHABIKI WENGI BONGO

MASTAA WANAOONGOZA KUA NA MASHABIKI WENGI BONGO BONYEZA http://lesweetpromo.blogspot.com/2016/04/mastaa-waliong-kwa-kua-na- mashabiki.html?m=1 kama wewe ni msanii CHIPUKIZI   Bongoflaver /Bongo muvie unatafuta njia za kutoka tutafute kwa simu namba +255656278685 TANGAZA NASI BUURE...!!

NISHA AWAPONDA MASUPER MARIO

Image
Ni jina ambalo ni kama iCon ya Tanzania kwa akina dada ambao wanafanya vizuri katika kiwanda cha sanaa BONGO huachi kumtaja NISHABEBE,KILEJA,KIBOKOKABISA,MATRONI yote ni majina yake unaweza ukamuita, yote ni kutokana na kazi zake zinavyofanya vizuri mitaani huku mashabiki wakimuita majina yanayoendana na moja ya kila kazi zake. SALMA JABU NISHA (NISHABEBEE)katika ubora wake.. Zaidi ya kazi za sanaa na Ubalozi wa watoto wanaoishi katika Mazingira hatarishi pia NISHA ni mjasiria mali (MALKIA WA NGUVU) ni mfanya biashara wa bidhaa mbalimbali za mapambo na nguo kutoka nchi za uchinani. Mbali na Mapambo NISHA amekua wakala mzuri wa Dawa za kurekebisha virutubisho mwili ikiwa ni kupunguza umbo na uzito wa mwili na kufanya umbo kua la kuvutia (Lavel b) NISHA amekua ni mfanyabiashara wa aina yake kwani amekua akitoa ushuhuda yeye mwenyewe kwani amekua akitumia dawa hizo na amepungua sana na kua mrembo. AWAPAKA MA MARIO NISHA hivi karibuni ameonekana akiwachamba wanaume wanaomtegatega (kumto