Posts

Showing posts from May, 2017

HARMORAPA AICHANGIA ZANZIBAR

Image
Msanii wa Muziki wa Hip Hop Tanzania Anaejulikana kwa jina HARMORAPA Kwa hali  ya Matumaini Ameonekana katika kitabu cha Uchangiaji kwa watu wenye mahitaji maalumu Zanzibar... Harmorapa Akitoa Ahadi hiyo ya kuchangia kiasi cha pesa cha Dolla 100 Msanii Harmorapa aneonyesha mchango wake na kuguswa na Kampeni hiyo na kumfanya Asimamishe show na kuongea na wananchi waliohudhuria "Kutokana na matatizo yanayoikumba jamii yetu Mimi Harmorapa kupitia SGS Sabuka Music naahidi kuchangia kiasi cha Dollars 100 kiasi kidogo cha kuwachangia wenye mahitaji." Alisema HARMORAPA Harmorapa akiteta na mwandishi Kampeni hii imezinduliwa na Mheshimiwa Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania MH SAMIA SULUHU HASANI na kuhudhuriwa pia na viongozi wengi wa Zanzibar Harmorapa ambae alikua ni mmoja kati ya wasanii wachache waliolikwa kutumbuizwa katika Tamasha hilo  lililolenga Kuhamasisha uchangiaji wa  Mahitaji ya watu wenye uhitaji lililojulikana k

HARMORAPA KAJA NA VIDEO YA NUNDU

Image
Msanii wako Harmorapa baada ya USIGAWE PASI  ,   KIBOKO YA MABISHOO  Leo ametujia na  # NUNDU Nyimbo amemshirikisha mkali CPWAA na Mkali Ronei Chini ya KING LUFA akishirikiana na BONGO RECORD MAJANI KUANGALIA NEW VIDEO NUNDU HARMORAPA FT CPWAA & RONEI BONYEZA HAPO CHINI https://youtu.be/7ZuLsAzVR9E

MRISHO MPOTO ALA KIPONDO CHA MATUSI BAADA YA KUMSIFIA RAISI

Image
Mrisho Mpoto kaongea baada ya kutukanwa kumuunga mkono Rais Magufuli Ni May 2, 2017 ambapo Mrisho Mpoto kupitia millardayo.com & Ayo TV alifunguka kuhusiana na wale wanaomtusi na kumponda kutokana kuonesha kuunga mkono utendaji kazi wa Rais Magufuli. ‘Kiukweli nimepata masikitiko makubwa sana kwani nimejaribu kuwaambia watanzania Rais ni nani, unajua kuna wakati wa kampeni ambapo kila mtu anaruhusiwa kuwa na mtazamo wake chochote anachokiamini pale tunaangalia masuala ya vyama lakini tunapomaliza masuala ya uchaguzi tunarudi tuwe katika masuala ya umoja tujenge nchi yetu’- Mrisho Mpoto