Posts

Showing posts from June, 2015

NEW HOPE WAFARIJIKA (PICHA)

Image

NISHA AWAPA MATUMAINI WATOTO YATIMA

Image
Msanii SALMA JABU (NISHA) Nyota wa tasnia ya filam za maigizo Tanzania maarufu kama (Bongo Muvie) hapa nchini Tanzani na msanii aliewahi kupata Tuzo za msanii bora wa kike wa vichekesho mwaka  2013-2014... na ni msanii wa pekee aliobahatika kua na vipaji lukuki katika Tasnia hiyo.... ... .. ""Blog hii ilishuhudia Tukio la aina yake lililofanyika tarehe 20 /06/2015 ambapo msanii huyu alitumia fursa ya umaarufu wake kufanya kazi za kijamii ikiwa ni kuwakumbuka watoto wanaoishi katika vituo vya malezi kwa watoto waliokua wanaishi.katika mazingira magumu na  hatarishi na watoto waliokua yatima..... (waliokosa malezi baada ya pande moja ama zote za wazazi kufariki) ... ..Mbali na NISHA kufanya kazi za sanaa na kumfanya kujulikana Tanzania nzima kwa kazi zake nzuri...pia NISHA alitumia fursa hiyo kuweza kuonyesha moyo wake ikiwa ni kama mfano wa vitendo na kutoa munkari kwa wasanii wenzake... kwa kitendo cha kukaa karibu na watoto hao wa kituo cha NEW HOPE GROUP  (kituo cha kule

ALLI KIBA BEGA KWA BEGA NA JAQLEEN MENGI(KYLEEN)

Image
Huku Bahati  na fursa zikizidi kumtembelea msanii nyota wa Tanzania na mshindi wa Tuzo sita za KILIMANJARO MUSIC AWARDS ....  ALLY S KIBA (ALLIKIBA) amepata fursa na nafasi ya kuteuliwa  kua balozi wa kusimamia harakati za  kuzuia upoteaji wa shani ya taifa na hadhina ya wanyama pori... chini ya WILDAID ..iliolenga kusimamia harakati za upotevu  na mauwaji ya wanyama Tembo..  Kampeni hiyo ambayo imeungwa mkono na wasanii na watu maarufu duniani... na kwa upande wa tanzania imewashirikisha ama kuwapa nafasi JAQEEN MENGI(Kyleen) Vanesa mdee na KING ALLI KIBA... Allikiba alipata fursa ya kukaa takribani siku tatu na wanyama aina ya tembo ... huku akipata elimu kubwa tu kuhusiana na harakati hizo.. Alikua na machache ya kushauri ...ALIKIBA alisema.... ....  “Ninafurahi kupewa heshima hii na nitatumia nafasi hii kutoa kila mchango ninaoweza kutoa katika jitihada hizi za kulinda wanyama pori wetu”, alisema Ali Kiba. “Tembo wetu wazuri lazima waachwe waweze kuishi katika mazingira yao y

NISHA AUKARIBISHA MWEZI MTUKUFU

Image
Msanii Nyota katika nyanja ya Kiwanda cha Filum Bongo SALMA JABU NISHA ..hivi punde asema na Mashabiki zake wakati akitoa maneno ambayo ni ya ki imani zaidi yaliotafsirika kua.. alikua na lengo la kuwatakia heri wanaitikadi wote wa Kiislamu katika kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani..... NISHA amewataka wale wote ambao aliwakosea kua wawe na moyo wa kusamehe kwani hakuna binadamu asie na mapungufu... Jukumu la kuomba msamaha kwa Wote ambao watahisi uliwakosea bila ya wewe kutambua ni lazima.... ""ni jambo muhimu sana kwani hata katika vitabu vya dini vimekua vikisisitiza msamaha.. kwa aliekukosea....na kupokea na kusamehe pia ...alisema maneno hayo katika moja ya kurasa zake mitandaoni... Msanii SALMA JABU NISHA ..hivi majuzi alitoa filum yake ilioitwa MTAA KWA MTAA na mafunzo zaidi ambayo imefanya vizuri kabisa...katika mauzo...Ni zaidi ya burudani... ""TUNAWATAKIA HERI WAISLAM WOTE KATIKA KUUKARIBISHA MWEZI MTUKUFU....WA RAMADHANI""

UNAJUA ALICHOSEMA (MADAM)WEMA SEPETU JUU YA TUZO ZA KIBA......... click hapa

Image
Huku kila msanii akitoa pongezi zake juu ya ushindi wa kishindo aliopata ALLIKIBA kwa mara ya kwanza baaada ya kunyakua tuzo.. 6 ....za KTMA 2015.. Katika category 7 alizokua amewekwa... Beutifuly onyinye.. (WEMA ABRAHAM SEPETU)  alikua sambamba na  msanii huyo toka katika mchakato wa kuomba kura... WEMA alisema .. Nilitaka zote saba ila hata 6 pia sio mbaya.... #KingKiba.... Umetisha..... 😊😊😊 .. .. .. MANENO HAYO YALIWAUMA BAADHI YA  MASHABIKI WALIOKUA WANAWASHABIKIA BAADHI YA WASANII AMBAO HAWAJABAHATIKA

UNATAKA KUJUA ALIKIBA ASEMA NINI BAADA YA KUPEWA TUZO ZAKE ZA KTMA2015...........click hapa

Image
Msanii mshindi wa TUZO 6 katika vinyang'anyiro vi 7 alivyokua akishindanishwa msanii ALIKIBA.. Kwa mara ya kwanza Ashukuru mashabiki zake... Asema.... ... ... "Ningependa Kuchukua Nafasi Hii Kutoa Shukrani Zangu Kwanza, Kwa MUNGU Muumba Aliyenipa Kipaji Hiki, Pili Familia Yangu Kwa Kuniongoza Na Kunipa Moyo Wa Kufanya Kazi Zaidi, My Management, Asante Kwa Kuniongoza Vyema. Mashabiki Zangu Wa Dhati Asanteni Sana Kwa Kuthamini Kipaji Changu Na Kupenda Kazi Zangu! Nawapenda Na Kuwashukuru From The Bottom Of My Heart. MUNGU Awabariki Sana ...#KingKiba HONGERENI MASHABIKI NA WATANZANIA KWA UJUMLA   KWA KUMPATIA TUZO KING WA BONGOFLAVER ...  ALLIKIBA....

UNAJUA ALIVYOSEMA JOKATE(KIDOTI) KUHUSU TUZO ZA ALLYKIBA???? click hapa

Image
Hongera Sana Cherie @officialalikiba Kwa Kujishindia Tuzo Sita Jana Usiku Kwenye Kiba Tanzania Music Awards (KTMA) sorry Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2015. Teh teh teh. Ni Kitu Cha Kumshukuru Mungu Ulikaa Kimya Miaka 3 Ila Ukarudi Na Wimbo Mmoja Ukatuteka Tena. Kusema Ukweli Tukiachilia Mbali Ushabiki 'Mwana' Ulituliza Akili Na Ukafanya Vizuri Sana Nchini. Mashabiki Wanakupenda. Sana. Mpole Hivi, Mcheshi, Mstaarabu. Na Unajua Mziki. Tunakuombea Sasa Hii Iwe Motisha Ya Wewe Kufika Mbali Zaidi. Ndio Kwanza Safari Imeanza. Uzuri Unaomba Mungu So Najua Hata Kutupa. Ila Kaza Mwana We Kazaaa!!! We Are Behind You!!! 💯by Jokate mwegelo

SHAMSA::NITAVAA NGUO FUPI MPAKA MWISHO WA DUNIA

Image
""Msanii wa Maigizo BONGO MUVIE SHAMSA.. (Shamsa Ford)... anaewika katika nyanja hizo na msanii aliopamba vichwa vya magazeti baada ya kua karibu na msanii wa BONGO FLAVER  Ney wa Mitego... ukaribu ambao ulikua gumzo ila mwisho wa siku ulionekana ni ukaribu wa kikazi.... ""SHAMSA amewapasha wale wanaomfuatilia na kumundama kumsema vibaya juu ya mavazi yake kua haya kidhi mwili wake na kuonekana kua ni mafupi na hayaendani na maadili ya Tanzania yetu... Msanii huyo amabe ni kioo cha jamii ameyatoa majibu hayo bila kuogopa litakalo tokea na kuwapa majibu wote ambao walikua wakijaji kuhusu viwalo vyake hivyo... Aliandika barua ndefu uliowafikia akiwalenga.. alisema.... """ ""Hi my people.kila mtu ana haki ya kuishi anavyotaka na kufanya kile anachotaka..nyie mnaopiga kelele eti navaa nguo fupi ni bora mtafute page ya mtu anayevaa madila mkoment na kulike..naishi navyotaka mimi na si mnavyotaka nyinyi.mwisho wa siku kila mtu atabeba msalaba w

NISHA AFANYA MAAJABU

Image
Msanii wa Bongo muvie mkali wa uhusika.. anaebadilika kama kinyonga hasa katika uchezaji wake ... ambae anatendea haki katika nyanja za uchekeshaji... pia.. SALMA JABU (NISHA)   anaetambulika kwa jina la NISHABEBEE.... aandika historia mpya baada ya kutenda maajabu katika swala zima la mauzo katika filum yake mpya ya MTAA KWA MTAA...   msanii huyo alikiri hilo kutokana na filum hiyo kupokelewa na mashabiki wengi katika soko la mauzo  na kufanya vizuri.. ""Akiongea na blog hii  meneja wa NISHA FILM PRODUCTION bw OTHUMAN (OCHU) ""alisema kua filum hii imepokewa vizuri sana na mashabiki wamesifia kazi hio iliofanyika kwa ustadi zaidi... ..""blog ilimtafuta mmoja kati ya mashabiki wa NISHA alietambulika kwa jina la DOREEN Mmiliki wa (REENS PUB) aliobahatika kuiangalia filum ya MTAA KWA MTAA alisema  ""kusema ukweli filum ya MTAA KWA MTAA imenifurahisha na ujue NISHA hakoseagi ametufunza na ametufurahisha sichoki kuiangalia yaani kwa siku lazima nii

LINNAH & WEMA BIFU ZITO..TEAM WEMA WACHARUKA

Image
Msanii wakike mkali wa sauti zao na tunda la THT  LINAH SANGA.. mkali wa OLE THEMBA amejikuta katika wakati mgumu baada ya mashabiki wa msanii beutifuly ONYINYE aka... madam.. WEMA ISAK SEPETU wanaotambulika kama TEAM WEMA.. Waliporomosha matusi kedekede kumshambulia LINAH kwa kile kinachodaiwa kua chanzo ni madada hao masupastaa kuchukuliana mabwana.. hilo lilitokea baada ya mtangazaji maarufu..wa CLOUDS FM Anaejulikan kama DIVA akimwaga mchele huo.. katika kuku wachache... alinukuliwa na blog hiii akinadi moja kati ya vipindi vyake.... huku akiporomosha skendo ambayo iliwaumiza mashabiki wa WEMA... alisema hivi katika moja ya kurasa zake za mitandaoni.....zilizo pelekea TEAM WEMA kumshambulia LINAH hadi katika kurasa zake mitandaoni.. ... ""ala za roho tonight na Diva saa 4 Mpaka saa 6 usiku utamsikia Beautiful linah Ndege Mnana Live akizungumzia Mshtuko aliopata baada ya kufahamu boyfriend wake anatoka na wema sepetu . Maumivu yote atayaweka hewani ... looking forward to

UKWELI WA NIA YA MAJUTO

Image
Msanii wa maigizo katika nyanja za kuchekesha  nguli KING MAJUTO.. hivi karibuni mashabiki wake walimuanika mitandaoni kua ametangaza nia ya kugombea... japo haikutambulika msanii huyo ametangaza nia ya uongozi gani ila  juhudi za kutafuta ukweli zilifanyika.. ""Kutokana na KING MAJUTO kutokuongea mara kwa mara na vyombo vya habari na kumuachia fursa hio mwanae mpendwa ambae pia ni mkurugenzi wake.. Bw Hamza Awadhi..... alisema kua.. KING MAJUTO hajatangaza nia yeyote ila mashabiki wake ndio wamekua wakimshauri afanye hivyo hasa katika nyanja ya  uongozi wa UBUNGE jimbo la TANGA MJINI... Akiongea kwa njia ya simu BW HAMZA amesema... swala hilo yeye kama mkurugenzi wa kazi za baba yake na msimamizi.mkuu wamepokea ushauri huo na wapo chini kuufanyia kazi... ""Hapo hapo alizungumzia kua KING MAJUTO anataraji.kutoa Filum mbili baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani... ambazo amewashirikisha wasanii wachanga na familia yake pia.... Huku akiwaambia mashabiki wasubiri Tam

UHALIFU NA GROUP WASSAP

Image
Hii ni kwa ma admin wote....Wa ma GROUP wassap... Tafadhali mwana group ambae hayupo active kwa muda na huna taarifa nae pleas.. mtoe mremove... kwa sababu zifuatazo.. @@Huenda .. member huyo amepoteza simu.... na ikaokotwa na mtu ambae anaweza kuchukua namba za MEMBERs wengine akafanya uhalifu..... ""Imetokea... Songea... bint mmoja aliibiwa simu... wale walioiiba wakaingia katika contact za wassap zake.. wakaingia katika group.. wakasomba namba na majina.... kisha akaanza kufanya uhalifu... 6 kati ya waliochukuliwa namb walifanyiwa uhalifu wa kudanganywa na kuibiwa pesa nyingi sana wengine wa 3 waliuliwa... chanzo kikajulikana ni simu ilioibiwa kwani walijikuta wanagroup wote wamepata majanga.. Kumbuka kua jina lako na namba na picha ndio vinavyoweza kukutia katika hatari hio... MTOENI MEMBER AMBAE HAYUKO ACTIVE KWA MUDA HATA WA SIKU 12... ..uhuni ulivyoanza... Mawasiliano ya mmoja waliodhulumiwa yalikua hivi.... ""Halo SHANI.... vipi.. ""Poa  w

NEY ANAUGONJWA

Image
Msanii maarufu anaetamba na nyimbo ya MAPENZI na PESA kwa sasa anaetambulika kwa jina la NEY TRUE BOY... (NEY WA MITEGO) Ameacha mashabiki wanaofuatilia page zake katika mitandao baada ya kuandika kiutani kua ana ugonjwa wa kupenda....  alikaririwa akisema hivi.. ": Mh nimeanza kua na wasiwasi, Cjui Nina kaugonjwa kakupenda?! Maana dah! Kuna binti ananivuluga mtima wangu..😃😃😃 ila sasa ana mbwembwe uyo.. tunagombana kila saa, alafu tunaelewana baada ya dakika kadhaa,, Vipi nawewe unakaugonjwa kakupenda!? #MapenziAuPesa .. .. Maneno hayo yalikua yakiendana na mziki wake ambao.. anahisi na kunadi MAPENZI ni PESA...    Mziki huo ambao una bamba sana katika station mbalimbali za radio.. huku washabiki wakiisubiria video.. ya wimbo huo kwa hamu... ""Hongera NEY wa Mitego""