Posts

Showing posts from March, 2016

ZAWADI KWA NISHA

Image
ZAWADI KWA NISHA. PART 2 maisha yalikua chungu hasa kwa hii historia ya mama.aliokua ananipa..kila tulivyokua pamoja nilijihisi nahitaji msaada wa mtu wa tatu ambae amebaki historia nae ndio baba yangu mpenzi..... .....hali ya mama ilizidi kubadilika ilifika kipindi ilinipasa niache shule..kulingana na tabu aliokua akiipata mama.... ..nilipata shauku sana yakutaka kujua storia ya baba..ila niliogopa kumueleza mama animalizie hadithi kutokana pindi  alipomtaja baba presha ilimpanda...nilisema na moyo wangu...huku nikimtizama mama kwa roho ya huruma.. ... ... Siku moja NISHA yupo katika pirika za kutafuta kuni ili akapate kumpikia mama yake... Alimuona mtu mwenye mwili mkubwa mandevu yalimshamiri mithili ya @mwarabu_fighter alipanda hewani kisha alitisha...sura Alimuona akija katika njia ile ile aliyokua anarudia nyumbani NISHA alipunguza mwendo.na mwendo wa jitu yule ulimtisha NISHA.. alitoa macho kwa ishara ya kuogopa..... Akautupa mzigo wa kuni chini nakukatisha porini mbio.

ZAWADI YA NISHA

Image
ZAWADI YA NISHA📦 Part 1 Ilisikika sauti ya NISHA... ....: BABA yangu mzee GOBA alisifika sana katika uchoraji .na hii ndio iliopelekea walimu kiniambia nimemrithi tabia za baba yangu katika uchoraji... mimi niliona ni maisha ya kawaida ktk kazi hiyo mara nyingi alimchukua mama katika matamasha mbalimbali ya uchoraji... Baba yangu Alitumika serikalini katika ofisi za makumbusho alichora picha mbali mbali zilizoonyesha ukombozi wa uhuru wetu... sina uhakika na ujira wake kama ulimpa faida  ila hii ndio ilikua kazi yake... ilioweza kumtunza mama kipindi ana ujauzito wa mimi tumboni..... ....maongezi haya nashindwa kuyatafsiri ikiwa mama ananisimulia ilihali akiwa na maisha yasio ridhisha nilisumbuliwa shule nisipate hata pesa ya kukithi michango... sasa je umuhimu wa baba uangu serikalini ulikua ni upi... ..hilo ni swali nililokua namuuliza mama kila siku..iweje tulikua na maisha mabovu katika muda ule tuliishi kijijini ilihali historia ya baba ilikua ni mjini..?....je mwisho wa baba

SHILOLE NA NEDYMUSIC MAPENZI KUSHNEY

Image
  Yale mapenzi Feki ya Nedy na Shilole yaliozuka baada tu ya  mwanadada wa IGUNGA Shilole mwanamuziki na muigizaji wa bongo muvie  aka (shishi) kuachana kwa kupigana kibuti na Nuhu mziwanda.. Dogo Nedy alipata kik ya msimu kidogo baada ya kuonekana amezama ki mahaba na mwanadada huyo.. ila karibuni SHILOLE akionekana kufuta picha zote alizowahi kupiga na Nedy huko mtandaoni huku nae mwanakaka huyo Nedy kufanya hivyo hivyo... tafsiri yake ni kua hakuna kinachoendelea . SHISHI (SHILOLE) katika pozi lake NUHU APOTEZEA katika tafrani hizo ambazo pengine Shilole aliziita Project Nuhu alizidi kuonyesha msimamo wake hasa baada ya kuendelea kua na mapenzi yake mapya na mwanadada Muarabu kutoka Oman... watafiti wanaelezea na kusema kua Shilole na Nuhu wanauwezekano mkubwa wa kurudiana kutokana nyota zao zinaendana sana..                                NEDY katika pozi