Posts

Showing posts from October, 2016

IRENE :MWENYE NDOTO YA KUA ZAIDI YA JOKETI

Image
DAR ES SAALAM: Mwanamitindo Irene Mwakalinga (22), mkazi wa Manzese Tiptop jijini Dar es Saalam amesema ndoto yake kubwa ni kuwa msanii mkubwa na mwenye mafanikio nchini kama mwanamitindo Jokate Mwegelo. …Akiwa katika pozi.   Mwanamitindo huyo amezungumza hayo alipofanya mahojiano na Global Online na kusema: “Ndoto yangu ni kuja kuwa mwanamitindo mwenye mafanikio kama Jokate, najituma usiku na mchana niweze kutimiza malengo yangu. “Nia yangu kufanya vyema ndani na nje ya nchi, japo changamoto ni nyingi baada ya kufiwa na wazazi wangu, sitakata tamaa, naendelea kujituma hadi nihakikishe malengo yangu yanatimia. “Napenda kubuni mavazi, kusoma vitabu, kuangalia tamthiliya na kuchati na marafiki zangu wa karibu.” …Akifurahi jambo. Mwanamitindo huyo amesema tangu aingie kwenye sekta ya mitindo hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii yeyote. Japo usumbufu ni mkubwa kutoka kwa wanaume wenye tamaa.

NAMNA YA KUMPIGIA KURA ALLY KIBA KATIKA TUZO MBALI MBALI

Image
Hizi ndio tuzo ambazo ndiyo kipaumbele chetu kwa sasa, Na tunaomba Watanzania wote  tupige kura Kuleta Heshima Nyumbani. Kwani Allikiba ndio msanii pekee aliotajwa mara nyingi katika Tuzo mbali mbali kuliko msanii yeyote Africa 2016 1.mtvema bonyez link hii hapa chini.. kisha moja kwamoja utakutana na picha ya KIBA chini yake kuna neno Best act nenda kabonyeze neno Vote ... Hakikisha unasubiri kama sekunde 60 usi cancell hadi iji update tena kukupeleka katika category nyingine.. rudi nyuma kisha Bonyeza tena link hii... kisha vote tena.. na tena kwa njia hiyo hiyo bonya hapa 👇🏽👇🏽👇🏽 http://base.mtvema.com/_/alikiba 2.MTV MAMA hii ni Tuzo ambayo Allikiba yupo katika kipengele cha Tatu(3)" BEST COLABORATION " ambayo imeingia nyimbo ya Anconditionalybae SAUTI SOUL ft ALLI KIBA vote.. kisha itakuandikia " thank you for voting .." kisha subiri kama lisaa piga tena bonyeza link hapa chini itakupeleka moja kwa moja 👇🏽👇🏽👇🏽