Posts

Showing posts from August, 2015

HAPPY : NIKIPATA MDHAMINI SIFANYI MAKOSA

Image
Msanii Chipukizi wa Bongo flaver.. HAPPY SULEIMAN.. (HAPPY) anaefanya vizuri sana katika  kuja juu katika kinara hichi cha wanawake wachache wanaokuja juu katika kiwanda cha kupeperusha bendera ya muziki wa kizazi kipya...   Ambae aliwahi kutamba na kibao cha Nakupenda ...ambacho kilishika chati sana kibao hicho kilipikwa vizuri na kupendwa na watu kedekede... Katika kutafuta soko la kutangaza kipaji chake ..wimbo wa Nakupenda uliingia katika mtafaruku ambao (HAPPY) alisema asingependa kuelezea  nini kilitokea.....    Ila katika chunguza za blog hii iligundua kua nyimbo hiyo iligongana idea na msanii wa kike (jina kapuni) nae chipukizi na kufanya nyimbo hiyo kuonekana ni kama imerudiwa mara mbili..   Swala ambalo (HAPPY) alipiga moyo konde na kusamehe hata gharama ambazo zilimgharimu katika kuitayarisha ngoma hiyo ..kwakua ngoma hiyo ilishatambulika ilimpasa aisimamishe kutokupigwa katika media ili kutoa utata....        "kutokana na nguvu nyingi kumalizia katika ngoma ya kw

AFE KIPA AFE BEKI COLABO YA ALLI KIBA NA NE-YO YANUKIA

Image
Hayawi hayawi sasa yanakua.. ni katika mastaa wawili kukutana na kufanya mambo makubwa katika mitumbuizo ya  coke studio.. NI msanii ALLI KIBA wa Tanzania na msanii NE-YO wa majuu.. wasanii hao siku za karibuni watakutana katika jukwaa moja na kutumbuiza pamoja.. AFE KIPA AFE BEKI COLABO LAZIMA Ujue kama inavyojulikana wasnii wanaokutana jukwaa moja basi lazima kitaundwa kitu cha pamoja na hapa inadhihirisha lazima kutakua na mchanganyiko wa sauti kwa wasanii hawa wawili.. na hapo ndipo itakapoundwa colabo... TEAM KIBA MENO NJE ni furaha ya aina yake kwa mashabiki wa KIBA baada ya msanii Kiba Kupata fursa ya mara ya pili tena kukutana na msanii mkubwa kama NE-YO na hii itakua ni bahati nyingine tena kwa msani KIBA baada ya ile ya kwanza kukutana na R.KELY na kufanya ngoma ambayo ilimueka Kiba pengine....

WEMA: MIMI NI CCM DAMU GOLI LA MKONO LAZIMA...MSIOJITAMBUA NENDENI UKAWA

Image
Mwanachama halali kabisa wa Chama Cha Mapinduzi CCM .. dada mh Wema Abraham Sepetu.. ambae pia ni msanii wa sanaa Tanzania  pia unapotaja watu maarufu  AFTICA MASHARIKI basi huachi kumtaja WEMA SEPETU.. Mlimbwende huyo ambae ni mstaafu wa Taji la Miss Tanzania miaka ya nyuma... katika mbio za uchaguzi 2015 aliingia katika kinyang'anyiro cha ugombeaji wa kiti maalumu ubunge CCM huko SINGIDA ambapo katika michakato wa upigaji kura.. hakubahatika kunyakua kura nyingi ambazo zingemuwezesha kupewa kiti maalum cha ubunge.... ...  .. Huku kukiwa kuna fukuto la kura za maoni za uraisi yalitokea mambo mengi ikiwa ni baada ya MH Edward Lowasa Kukatwa katika majina pendekezwa mbali na kupendwa na watu wengi ilipelekea watu wengi kumfuata LOWASA alipo hamia chama pinzani cha Chadema ambacho kinaongoza Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA ... moja ya watu walionyesha nia thabiti ya kuhama katika chama cha CCM ni  wasanii lukuki ambao walitangaza wazi... WEMA SEPETU AWAPA YAO baada ya kuonek

NISHA AKOSA DHAMANA CHINA... AFUNGUKA AKIWA KIFUNGONI

Image
Msanii mchekeshaji wa kike wa TANZANIA... Na muigizaji wa kutamba katika Tasnia ya BONGO MUVIE .. SALMA JABU NISHA.. Hivi majuzi akiingia katika habari ya sintofahamu ya  kukamatwa na mihadarati..huko nchini CHINA alipotia kambi toka jully...katika moja ya shughuli zake za sanaa. MASHABIKI WATOKA MACHOZI Habari hii ya kukamatwa na madawa ya kulevya  ilikonga nyoyo za watu na kwa maumivu kabisa baada ya mashabiki zake kutokuelewa ukweli wa chanzo hicho kilichosambaa bila ukweli kufahamika..kua ni kweli na nini hatima yake AKOSA DHAMANA Huku mashabiki wakisubiria dhamana ama tamko la hukumu kutoka kwa NISHA mwenyewe ama serikali ya CHINA ama wenyeji wake.. bila mafanikio... kwani hakuna aliojitokeza kulizungumzia hilo hata ikiwemo serikali ya Tanzania... moja kwa moja ilionekana hakuna ukweli ndani yake wa jambo hilo.. Tulizoe kuona watanzania wengi wakihukumiwa na kuzungumziwa ila kwa NISHA hakutokea mtu yeyote..wa serikalini au binafsi..kuongelea asilimia 100 hakukua na ukweli n

DAVIDO AMBURUZA DAIMOND... MASHABIKI WA TANZANIA WACHANGIA

Image
Msanii wa NIGERIA mkali wa style ya SKELEU  msanii ambae mara nyingi ameingizwa katika ushindani na Msanii wa mziki wa BONGO FLAVER nchini DAIMONDPLUTNUM..kutokana na aina yao ya mziki wanaoufanya... wengi wao wakisema unaendana na utumbuizaji wao unalandana mbali na kushirikiana baina ya wasanii hao... Wamekua wakikutana na katika vinyang'anyiro kadhaa  vya tuzo Afrika.... DAVIDO ZAIDI huku mashabiki hao wa mziki wakiwa wengi sana hasa katika mitandao ya kijamii ikiwemo Tweetter na instagram pamoja na facebook.... DAVIDO amezidi kujizolea mashabiki  lukuki kuliko Daimond... Davido amekua kinara kwa kutimiza mashabiki Millioni 1 kwa wanaomfuatilia katika moja ya page yake katika mtandao wa kutumiana picha wa instagram.. huku akimzidi DAIMOND ambae ana mashabiki Laki 9 wanaomfuatilia.. Takwimu hiyo inaonesha kua DAVIDO amejinyakulia mashabiki wengi nchini Tanzania kukiko Nigeria kwakua matumizi ya mitandao.katika nchi hizi mbili ni tofauti huku Tanzania ikiwa inaongoza kwa matu

BADA YA KUNUSURIKA KUOZEA JELA HUKO CHINA NISHA AJA NA JIPYA

Image
Msanii wa BONGO MUVIE (NISHA) Ambae ni miezi kadhaa sasa yupo nchini CHINA kwa shuhuli za kisanaa..  a hivi majuzi aliingi katika skendo na tetesi za mihadarati ambayo inasemekana kidogo anuse jela ila taarifa hiyo haikua na ukweli wowote. ..wakati Huku mashabiki wengi wakimsubiri kwa hamu  nchini..  msanii huyo azua balaa jipya.. Kama inavyokua kawaida kwa binadamu yeyote anapokua anakwenda nchi za watu basi ni lazima abebe na utamaduni wake ili aweze kuishi sawa bila kuhisi tofauti Hivyo ndivyo ilivyokua kwa mwana dada NISHA.. katika restaurant moja Maarufu nchini humo baada ya kupata mwaliko mkubwa... AIBU DEBE 10 Aina ya ulaji wa jamii ya watu wa CHINA ni tofauti kwani wamekua wakila vyakulat ofauti na vya ki Africa hali iliopelekea mwanadada NISHA kuukumbuka u BONGOLAND wake.. Alionekana mara Kwa mara akiagiza vijiko hali ambayo kila mtu alimshangaa ila yeye hakua na muda wa kujali ila kuutunza Uafrika wake.