Posts

Showing posts from December, 2015

DAIMOND , ROMYJONS BIFU ZITO

Exclusive: Bifu zito kati ya Diamond na Rommy Jones Diamond Platnumz vs Rommy Jones Kuna bifu kubwa linaendelea chini chini kati ya Diamond Platinumz na binamu yake na mtu wake wa karibu Rommy Jones. Chanzo cha bifu hilo japo wenyewe hawataki kuweka wazi inasemekana ni kitendo cha Diamond kumwambia Rommy aweke utaratibu wa kujitegemea yeye mwenyewe alafu yeye atamsapoti. Inasemekana Rommy hakufurahi kaona kama kadhalilishwa, kumbukeni Rommy hajui ata bei ya viatu kila kitu anawezeshwa na Diamond. Wengine wanasema chanzo ni Zari inasemekana Rommy ambae ni swaiba wake na Wema alikuwa anajaribu kumshawishi kwa muda mrefu Diamond arudishe mapenzi kwa Wema huku akisaidiwa na Aunt. Hii ilimuuzi sana Diamond maana Diamond kwa sasa jicho lake lote lipo kwa mwanae Tiffa na mpenzi wake Zari sasa kuona mtu wake wa karibu anamshawishi kuvuruga furaha yake ikaleta doa kwenye uswahiba wao. Kingine ni ishu ya Wasafi records label mpya ya Diamond ambayo kawekeza pesa ndefu lakini kampa usimamizi ndugu

MASANJA :HALIMA MDEE MH...

Image
Mbunge wa JIMBO la KAWE  kupitia UDCM MH HALIMA MDEE hivi majuzi alikutana na mchekeshaji na Askofu MASANJA MKANDAMIZAJI katika harakati za kisiasa..... MASANJA MKANDAMIZAJI maarufu kama Askofu na mwanasiasa alioonyesha nia hasa alipoingia katika kinyang'anyiro cha ubunge kupitia CCM katika jimbo la Ludewa Mkoa wa Njombe baada ya uchaguzi kuairishwa ni baada ya kifo cha Mh Deo Haule Filikunjombe Ambae akiaga dunia akiwa katika harakati za uchaguzi , Hata hivyo MASANJA alikatwa katika nafasi hiyo baada ya kutokupata kura za kutosha kutoka kwa wajumbe wa CCM katika uteuzi wa jina la mgombea Ubunge kupitia CCM. MASANJA akiwa na MH HALIMA MDEE (MB) MASANJA alipobahatika kukutana Muheshimiwa huyo kama kawaida alianza kumtania alisikika akisema "Du muheshimiea kumbe ni laini hivi sauti yako na mwili wako ni tofauti kabisa nilifikiri utakua kama dume kumbe... Aliendelea kuntania MH.MDEE na waliishia kwa kupiga picha za ukumbusho ambazo MASANJA alizutupia katika kurasa zake mitandaon

KUHUSU MIMBA YA MASOGANGE DAVIDO NUSRA ATOE MACHOZI

Image
Siku kadhaa zilizopita,  Mrembo Agness Masogange aliibuka sana katika taarifa kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido  staa wa muziki kutoka  Nigeria . Masogange  alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa  Nigeria  na  Tanzania  na kuacha swali kubwa vichawani mwa watu, “Agness ana ujauzito wa Davido?!” Agness Masogange. Baada ya ukimya wa siku kadhaa,  Davido aliaua azungumze na kuweka mambo sawa ili kusitisha uvumi unaosambaa juu yake na Agness Masogange … kupitia page yake ya Twitter ,  Davido  alipost tweets kadhaa huku akidai tetesi hizo zimemuumiza zaidi baada ya mrembo  Masogange  kumuendea hewani staa huyo kwa uchungu na kudai uhusiano wake na mpenzi wake upo matatani kutokana na uvumi huo. Davido. Haya ndio majibu ya  Davido  kuhusu uvumi wa Agness Masogange  kubeba ujauzito wake.. >>> “ TBH sijali Blogs zinaandika

UTANIPENDA YA DAIMOND YAMUEKA PABAYA DR.MWAKA

Image
Matokeo ya matangazo kupitia msanii maarufu Tanzania  DAIMOND yaleta tafrani kwa Daktari wa tiba asilia DR. MWAKA Naibu waziri w Afya Muheshimiwa HAMIS KIGWANGALA siku chache baada ya uapishwaji kutumikia wizara hiyo aanza kazi na kasi ya aina yake. Afanya ziara ya kushtukiza katika Vituo vya afya vya DR. MWAKA vinavyo julikana kama FOREPLAN CLINIC. Vituo ambavyo vimesambaa nchi nzima.. alipotembelea eneo hilo hapo Daresalam alikuta baadhi ya wagonjwa wakiwa wametelekezwa huku wahusika na matabibu wakitembea mitini. DR.MWAKA akiwa na DAIMOND mwanamuziki katika moja ya matangazo yaliotekelezwa na  msanii huyo ambayo yadaiwa huenda ikawa moja ta tifu tifu lililo mkumba DR.MWAKA UTANIPENDA YAWA CHANZO Huku mamia ya watanzania wakiwa katika adha ya kutafuta tiba ya maradhi sugu yanayo wasumbua pengine kudhani hata Hospitali haziwezi kufanya tiba, Hutafuta njia mmbadala ya kutatua matatizo hayo kupitia tiba asilia.. Huku tukisema Biashara ni Matangazo Dr .MWAKA  amejizolea umaarufu

UTABIRI WA DAIMOND HOFU YA TANDA

Image
Huku ngoma ya Utanipenda ikiendelea kukata mbuga sehemu mbali mbali za mipaka ya nchi ya Tanzania na huku Video ya nyimbo hiyo ikiweka historia ya pekee ya kutizamwa na watu wengi sana kwa muda wa siku takribani mbili tu tokea ilipo achiwa rasmi siku ya Ijumaa.. Imekua ni kawaida msanii Daimond kuwa starehesha mashabiki zake kwa kila nyimbo mpya anayoitoa imekua ni ya tofauti na huvuta hisia za mashabiki kwa kiasi kikubwa sana. Mkali huyo ambae ameonekana kutajwa mara kadhaa katika vinyang'anyiro vya tuzo mbali mbali nchini na nje ya Africa na amekua akileta mafanikio katika mziki wa Tanzania baada ya kunyakua Tuzo kadha wa kadha ...za kimataifa. UTANIPENDA Imekua ni wimbo waTaifa kila kona ya Tanzania baada ya msanii Daimond kuwaonyesha watanzania kua yeye amezaliwa na kipaji alichojaliwa na Mwenyezi Mungu... Inasadikika kua video ya nyimbo hii hadi kufikia siku tatu itakua imevunja rekodi kubwa sana katika kutizamwa mara nyingi katika mtandao wa youtube.. Daimond ameteka hi

WATANZANIA WATAJIRIKA KWA MTAJI WA SH ELFU TISA TU

Image
UNATAKA KULIPWA SH LAKI TATU HADI MLIONI KUMI KWA MWEZI.... SIO. NDOTO TU BALI NI NDOTO YA KWELI... NI KWA SH 9000 ELFU TISA TU.... KIVIPI..???????? WENGI WANAPUUZIA KUSOMA KWA UREFU WA UJUMBE HUU ILA NDIVYO WANAVYO FELL MAISHA KWA KUKOSA JUHUDI WEWE MWENYE NDOTO YA MAENDELEO SOMA HAPA RAFIKI YANGU ALIISOMA HII AKAFUATILIA SASA HIVI ANAMILIKI NYUMBA MAGARI NA NI TAJIRI  JE ORIFLAME NI NINI?? NA FURSA YAKE IKOJE....  NATAJIRIKAJE..? Tunaanza na fursa ya kwanza Tuna products zinazotumika kwanzia kichwani mpaka mguuni. Bidhaa zimegawanyika katika makundi manne 1. Skin Care- bidhaa za ngozi ya uso... hapa bidhaa zinatolewa kwa kuangalia aina ya ngozi ya mtu, mfano.... ,ngoziii ya mafuta, kavu,etc pia inaangaliwa umri wa mtu na condition ya ngozi yake, maeneo anayoishi nk 2. Fragrance- manukato... hapa tuna perfumes kama 23 za kiume na za kike, deodorant spray na roll on, kuna perfumes nyingine zina mafuta ya mwili 3. Colour Makeup- hapa ndo tu wanatumia wadada... huku tuna foun